1988
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1950 |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980
| Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1984 |
1985 |
1986 |
1987 |
1988
| 1989
| 1990
| 1991
| 1992
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1988 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 2 Januari - Ruth Bosibori, mwanariadha kutoka Kenya
- 20 Februari - Rihanna, mwimbaji kutoka Barbados
- 2 Machi - Vito Mannone, mchezaji mpira kutoka Italia
- 1 Mei - Richa Adhia, mwanamitindo kutoka Tanzania
- 9 Juni - Flaviana Matata, mwanamitindo kutoka Tanzania
- 19 Julai - Shane Dawson, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Julai - Ayo Yusuf, mwimbaji kutoka Nigeria
- 11 Agosti - Angel Kamugisha, mwigizaji wa filamu kutoka Tanzania
- 28 Septemba - Wema Sepetu, mrembo wa Tanzania mwaka wa 2006
- 9 Novemba - Cali Sweets, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 12 Desemba - Brian Umony, mchezaji wa mpira kutoka Uganda
- 17 Desemba - David Rudisha, mwanariadha wa Kenya
- 19 Desemba - Alexis Sanchez, mchezaji wa mpira kutoka Chile
- 27 Desemba - Hayley Williams, mwanamuziki wa Marekani
bila tarehe
- Mihret Abebe, mwanamitindo wa Ethiopia
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 11 Januari - Isidor Rabi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1944
- 15 Februari - Richard Feynman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1965
- 19 Februari - Andre Cournand, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1956
- 9 Machi - Kurt Georg Kiesinger, Chansela wa Ujerumani (1966-1969)
- 9 Aprili - Brook Benton, mwanamuziki kutoka Marekani
- 12 Aprili – Alan Paton, mwandishi wa Afrika Kusini
- 5 Mei - Michael Shaara, mwandishi kutoka Marekani
- 27 Mei - Ernst Ruska, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1986
- 1 Septemba - Luis Alvarez, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1968
- 21 Desemba - Nikolaas Tinbergen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973